Ni ndani ya Kijiweongwa hiyo ndipo jambo hili limefanyika ambapo Mawifi wamesimamia harusi ya mke wa kaka yao akiolewa na mwanaume mwingine,Wanasema kaka yao amekuwa akimuacha kewe na kuondoka hivo Wifi yao baada ya kupata mwanaume mwingine Mawifi kwao wakaona ni sawasa na hivi ndivyo ilivykuwa kwenye sherehe hiyo ambayo bi Harusi alipandishwa kwenye bajaji
#Kijiwenongwa #geahhabibu #GeahTv