Waziri wa Nchi OR- TAMISEMI amezungumza na Ayo TV kwenye udhubutu ambao ameufanya baada ya kupewa Sh, Bil 1 na Serikali kwa ajili ya kujenga Jengo la Ofisi ya TAMISEMI kwenye eneo maalum lilipotengwa na SERIKALI, ''MJI WA SERIKALI'' ''Niliona mchoro nikabadilisha ramani kutokana na wingi wa wafanyakazi wa watumishi wizara ya TAMISEMI''