Duration 2:23

Kampuni ya Odibets imemfichua rasmi Charles Odongo almaarufu ‘ugali man’ kuwa balozi wao mkuu

181 watched
0
0
Published 15 Jun 2021

Kampuni ya ubashiri ya Odibets leo imemfichua rasmi Charles Odongo almaarufu ‘ugali man’ kuwa balozi mkuu wa kampuni hiyo. Odongo alipata umaarufu katika mitandao ya kijamii baada ya video yake akila ugali kwa ustadi kusambaa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCsports #KenyaSports #Football

Category

Show more

Comments - 0